Hawa ni mashuhuda wa ajari hiyo wakijaribu kuokoa baadhi ya majeruhi
Kushoto aliye lala chini ni mmoja kati ya majeruhi akionekana pichani pembeni kulia ni pikipiki pamoja na mashuhuda wa ajari wakiwa eneo la tukio.
Ni jinsi anavyo onekana katika hali mbaya bila kupata msaada wowote kutoka kwa raia walio shuhudia tukio hilo
Huyu ni abiria aliye kuwa amepakiwa katika pikipiki ambayo haikuwa na namba za usajiri, kama anavyo onekana pichani akiwa katika hali mbaya sana akijaribu kunyanyuliwa na msamalia mwema mmoja.
Raia wema walio wabeba majeruhi katika ajari hiyo iliyo tokea katika eneo la ipagala emause mkoani dodoma mjini,iliyo sababisha na gari ndogo aina ya tax na pikipiki ambayo haikuweza kufahamika kutokana haijasajiriwa na serikali.
Askari wa usalama barabarani akisaidiana na raia wema kuwapakia majeruhi katika gari double kibin wakiwa tayari kuwapeleka hospitari kuu ya mkoa General.
Na hii ni gari ambayo iliweza kusababisha ajari kubwa ambayo namba zake za usajiri ni T138 AKP ni tax ya abilia ambayo inapiga safari yake hapahapa dodoma mjini.
Na hii ni pikipiki waliyo kuwa wamepanda majeruhi ambayo ikionekana haina namba za usajiri
Picha na Habari:Ambros La Swai na Paul Lawa

0 comments:
Post a Comment