Wednesday, August 15, 2012

Picha na matukio katika viwanja vya stadium Dodoma

UZINDUZI WA AWAMU YA TATU YA TASAF MPANGO WA TAIFA WA KUNUSURU KAYA MASKINI ZILIZO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI PICHANI NI MATUKIO MBALIMBALI
                                                                Makamu wa Raisi awamu ya pili Seiph Iddy akiwasili katika viwanja vya stadium kwenye uzinduzi wa TASAF awamu ya tatu kitaifa ulifanyika katika mkoa wa Dodoma,akipeana mikono na mkuu wa mkoa Dr.Rehema Nchimbi               
Waziri wa ofisi ya raisi Mh.Steven Wasila akipeana mikono na makamu wa pili wa raisi Dr.Seiph Iddy katikati ni mkuu wa mkoa Mh.Rehema Nchimbi baada ya kuwasili katika viwanja vya stadium mkoaani Dodoma katika uzinduzi wa awamu ya tatu ya TASAF




Hawa ni baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi makole dodoma wakiwa katika viwanja vya stadium katika uzinduzi wa awamu ya tatu ya TASAF  


Pichani ni baadhi ya watoa huduma ya kwanza(First Aid)wakionekana katika majukumu yao ya kulitumikia taifa katika uzinduzi wa TASAF,wakiungana na watu wa damu salama katika uzinduzi huo

 Wanafunzi pamoja na walimu wao wa shule ya msingi ya Ipagala dodoma wakiungana na baadhi ya watanzania katika jukumu la uzinduzi wa awamu ya tatu ya TASAF


Picha hizo juu ni uongozi mzima wa TASAF wakiwa katika hekeheke mbalimbali katika uzinduzi wa awamu ya tatu ya shirika hilo la  TASAF yaloyo fanyika mkoani dodoma

 MsondoNgoma wakitumbuiza katika viwanja vya stadium mkoani Dodoma katika uzinduzi wa awamu ya tatu ya TASAF yaliyo fanyika mkoani dodoma kama wanavyo onekana pichani

 Habari na Matukio:Paul Lawa

0 comments:

Post a Comment