Thursday, August 30, 2012

TAARIFA YA ZOEZI LA SENSA MKOA WA DODOMA KWA SIKU YA KWANZA (26/08/2012) KUFIKIA SAA 9 :00 ALASIRI

 MAELEZO YA PICHA
 Makarani wa sensa (wawili katikati) wakijaza madodoso ya Sensa kwenye mtaa wa Ndaku kata ya Chamwino Manispaa ya Dodoma kama walivyokutwa na mpiga picha wetu.
 
 
karani wa Sensa (kushoto) akichukua taarifa kutoka kwa mama mmoja na watoto wake ambaye hakuweza kufahamika mara moja kwenye Mtaa wa Ndaku Kata ya Chamwino Manispaa ya Dodoma kama walivyonaswa na kamera yetu.

 
Makarani wa Sensa wakipita kwenye moja ya mitaa waliyopangiwa kuhesabu na kuchukua taarifa katika Manispaa ya Dodoma leo hii.

0 comments:

Post a Comment