Saturday, September 29, 2012

DODOMA ENTERTAIMENT

DODOMA ENTERTAINMENT WANAKULETEA SHOW KABAMBE INAYO HUSISHA VIPAJI MBALIMBALI IKIWEMO WASANII CHINI YA UMRI WA MIAKA KUMI NA NANE ILIYO FANYIKA KATIKA UKUMBI WA CLUB LA AZIZI

Lengo katika shughuli hii ni kuinua vipaji vya watoto (under 18's,vipaji kuimba pamoja na kucheza show hiyo imezaminiwa na Tigo express your self,Dodoma fm radio 98.4,Grey Electronics,Zunny Icecream,Ulanga lodge,pamoja na Dodoma printing.
Katika sherehe hiyo walikuwepo majaji wa kutafuta vipaji vya wasanii chini ya miaka kumi na nane Rabiaman show,Anna Daud,Josephin Kaponya pamoja na maproducer kutoka studio tofauti kutoka dodoma.
Show ya kucheza ilifunguliwa na Juma Madaraka ambaye aliingia na ngoma zetu akifuatiwa na wezake watatu.
Ilifuatiwa na show kabambe kutoka kwa vijana mahili ambao wana uwezo wa kulishambulia jukwaa kwa uwezo usio wa kimfano ambao walivalia nyekundu na nyeusi,bila kukubali kushindwa vijana wa Dodoma fm 98.4 nao waliingia na kuzisakata kwaito za south,haikuishia hapo wana Tigo nao waliamua kuingia maeneo hayo ya uwanja unataka kuona ilikuwaje fungua hapo chini na uangalie full video,unafikili utamu uliisha walizidi kuingia watu wengi si unajua tena kitu cha Zombo tena utata mtupu watu walikisababisha,Haikuishia hapo tigo si walipewa nafasi yao wenyewe wakinukishe dah tigo acheni waitwe tigo walisababisha ile mbaya ni noma fungua tu angalia show ilivyo kuwa ni kazi kubwa ya dodoma entertainment iliyo zaminiwa na dodoma fm 98.4,
show nzima ilikuwa ni kutafuta washindi watatu tu ambao mshindi wakwanza atapewa zawadi na tigo,na dodoma fm 98.4 aliweza kuwapatia zawadi washindi watatu hao kulekodi singo katika studio kubwa na kali hapa dodoma mjini,katika awamu ya pili ilianza na kupatikana washindi kumi na tano wa mwanzo.nusu fainali ilitarajiwa kubakiwa na watu watano tu ili kuweza kupata washindi watatu katika upande wa kuimba na kuchana.
wasanii waliendelea kupunguzwa ili litimie lile lengo la kuwapata washindi watatu tu,kama kawaida wasanii walio bolonga walipewa changamoto mbalimbali kutoka kwa majaji

0 comments:

Post a Comment