Monday, September 17, 2012

JE?AJARI BARABARANI ZINASABABISHWA NA NANI MTEMBEA KWA MIGUU AU DEREVA






 DEREVA WA DARADARA AMKOSAKOSA MZEE MMOJA MITAA YA BARABARA YA SABA NA KUZUA BARAA KUBWA
 













 Mzee huyo ambaye alikoswakoswa na gari aina ya daradara na kuzua baraa kubwa baada ya mzee huyo kukasilika na kukaa mbele ya gari hiyo na kuanzisha fukuto katika gari na kusababisha abiria wote walio kuwemo katika gari hiyo kutelemka na kuendeleza timbwili katika mtaa huo wa barabara ya saba mjini dodoma karibu na Diamond Trust Bank,hakuishia hapo mzee huyo aliamua kupiga ngumi kioo cha gari hilo na kumfanya dereva kukasilika na kusababisha msongamano wa magari mengi sana haikuishia hapo,baada ya askari wa barabarani kuwasili ndo ugomvi baina ya mzee huyo na dereva kuisha baada ya mzee huyo kupelekwa kituo kikubwa cha polisi

0 comments:

Post a Comment